Pages

Subscribe:

Saturday, 14 February 2026

SILAHA KAMILI ZA MUNGU

🔥 SILAHA ZA KIROHO ZA KUSHINDA NGUVU ZA GIZA

Na: Ev ELIMELECK S NDASHIKIWE 

UTANGULIZI
Wapendwa, vita tuliyonayo si ya damu na nyama! Adui yetu si jirani, si binadamu — bali ni falme za giza. 
      Kama inavyoandikwa katika Biblia (WAEFESO 6:12), tunashindana na falme na mamlaka za giza.


Lakini nina habari njema leo 

    HATUJAPEWA ROHO YA WOGA! Tumepewa mamlaka na silaha za ushindi!

1️⃣ MKANDA WA KWELI – SIMAMA KATIKA UKWELI
Uongo ni silaha ya shetani.
      Lakini ukweli ni silaha ya Mungu.
Yesu alisema, “Mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka huru.”

Ukiishi katika ukweli:
Huna hofu
Huna mashaka
Adui hana pa kukushika

🔥 Sema: Ninasimama katika ukweli wa Mungu!

2️⃣ DIRII YA HAKI – LINDA MOYO WAKO

Dhambi humpa adui nafasi. Lakini haki hufunga milango ya giza.
Unapotembea katika utakatifu, unavaa ulinzi wa mbinguni.
🔥 Sema: Ninavaa dirii ya haki leo!

3️⃣ NGAO YA IMANI – ZIMA MISHARE YA MOTO

Mashambulizi ya adui huja kwa njia ya:
Hofu
Mashaka
Maneno mabaya
Ndoto za kutisha

Lakini imani inazima mishale yote ya moto!
Kama inavyoandikwa katika Waefeso 6:16 — ichukueni ngao ya imani.
🔥 Sema: Imani yangu haiwezi kuzimwa!

4️⃣ UPANGA WA ROHO – NENO LA MUNGU

Hii ndiyo silaha ya kushambulia!

Yesu alipokuwa akijaribiwa jangwani, alishinda kwa kusema, “Imeandikwa!”
Neno la Mungu linavunja laana, linaangusha ngome, na kufungua vifungo!
 2 WAKORINTHO 10:4, silaha za vita vyetu zina nguvu katika Mungu kuangusha ngome.

🔥 Tangazia hali yako: IMEANDIKWA!

5️⃣ MAOMBI – NGUVU YA SIRI

Hakuna ushindi bila maombi.
Maombi ni mawasiliano na mbingu.
Maombi hubadilisha hali.
Maombi huleta moto wa Roho.

🔥 Omba bila kukoma!

HITIMISHO: USHINDI NI WAKO!
        Wapendwa, huna haja ya kuogopa wachawi wala kuzimu.
Yesu tayari alishinda msalabani!

Simama. Vaa silaha. Tumia mamlaka yako.
🔥 Sema kwa sauti kubwa:
Mimi ni mshindi!
Nimeshinda kwa damu ya Yesu!
Hakuna nguvu ya giza itakayenishinda!

Nipigie Kwa

+255 698 52 50 10

Wednesday, 11 June 2025

UHUSIANO KATI YA MAOMBI NA SADAKA

UKWELI KUHUSU MAOMBI NA SADAKA


Ndugu Yangu Ukweli Kwamba hakuna aliyefanikiwa ambaye haombi wala hatoi Sadaka

Kila aliyefanikiwa Ujue anaomba either MUNGU au Miungu lakini anaomba na anatoa sana Sadaka Kwa MUNGU au miungu

Ni kwa Sababu mwanadamu anayeweza Kufanikiwa binafsi bila msaada wa nguvu za rohoni kutoka kwa MUNGU au Miungu

Na njia mojawapo Ya Kujiconect na msaada wa nguvu ya roho ni Kupitia Maombi na Sadaka

HIVYO KAMA UNATAKA KUFANIKIWA, KAMA UNATAKA KUSTAWI, KAMA UNATAKA KUWA SALAMA BASI MOJAWAPO YA GHARAMA KUBWA UNAYOPASWA KUILIPA NI MAOMBI NA UTOAJI BILA KUJIHURUMIA KATIKA UTOAJI WA SADAKA 
Unapaswa Kuyafanya MAOMBI Na, Sadaka Kuwa Kipaumbele kwenye Maisha Yako

Unapaswa Kuwa na Nidhamu Kubwa Sana Kwenye MAOMBI NA UTOAJI SADAKA

Unapaswa Kuhakikisha Maombi Na Utoaji SADAKA Yanakuwa Maisha Yako

Unapaswa Kuhakikisha HAKUNA SIKU INAPITA BILA KUKAA KWENYE MAOMBI

Wala Hakuna Fedha inayopita mikononi mwako pasipo kuitolea Sadaka

*Unapaswa KUJITOA, KUJIDHABIHU MNO KWENYE MAOMBI KULIKO KAWAIDA MAANA KIWANGO UNACHOOMBA NDICHO KINAAMUA KIWANGO CHA UTENDAJI WA MUNGU KWENYE MAISHA YAKO*

UNAPASWA KUJIDHABIHU MNO KWENYE UTOAJI SADAKA MAANA KIWANGO CHAKO CHA UTOAJI PIA KINAAMUA KIWANGO CHA MUNGU KUKUAMINI KWENYE MAMBO MAKUBWAA

Matendo ya Mitume 10:4
[4]Akamtazama sana, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu. 

👆👆Kornelio hakuwa ameokoka hivyo hakuwa na haki Ya MUNGU kumtokea Kupitia Malaika lakini kwa sababu aliziishi kanuni za MUNGU za KUDUMU KATIKA KUOMBA NA KUTOA SADAKA, MUNGU alimtokea Kupitia Malaika na kumpa maelekezo

Usiishie tu Kuomba halafu KUTOA uko nyuma, wala usitoe halafu Kuomba huombi fanya vyote ili upate Matokeo Kwa haraka



Barikiwa

ELIMELECK NDASHIKIWE 
+255 698 525 010

Tuesday, 11 February 2025

NGUVU YA SADAKA

WHAT IS SACRIFICIAL GIVING ? 
         Sacrificial giving is an unusual, uncommon, excellent, outstanding, painful and extra ordinary giving that cost you much in order to attract the attention of God towards your life.

Sacrificial giving is a demand from a higher love to know your level of live, worship, commitment and service for him. Genesis 22:28

sacrificial giving is what you do to destroy the deverstating plans against your life and future. I Chronicles 21:22-25

       Sacrificial giving is a new foundation that we lead to build a strong or fresh future for your destiny. Hebrews 13:16. Living a good life of sacrifices, God is well pleased.

Sacrificial giving is the act of love to show God how important he his in your life.

         Sacrificial giving is a painful act towards a personality you reference or respect much t show your respect to him.

Sacrificial giving is displeasing yourself to please God.