UKWELI KUHUSU MAOMBI NA SADAKA
Ndugu Yangu Ukweli Kwamba hakuna aliyefanikiwa ambaye haombi wala hatoi Sadaka
Kila aliyefanikiwa Ujue anaomba either MUNGU au Miungu lakini anaomba na anatoa sana Sadaka Kwa MUNGU au miungu
Ni kwa Sababu mwanadamu anayeweza Kufanikiwa binafsi bila msaada wa nguvu za rohoni kutoka kwa MUNGU au Miungu
Na njia mojawapo Ya Kujiconect na msaada wa nguvu ya roho ni Kupitia Maombi na Sadaka
HIVYO KAMA UNATAKA KUFANIKIWA, KAMA UNATAKA KUSTAWI, KAMA UNATAKA KUWA SALAMA BASI MOJAWAPO YA GHARAMA KUBWA UNAYOPASWA KUILIPA NI MAOMBI NA UTOAJI BILA KUJIHURUMIA KATIKA UTOAJI WA SADAKA
Unapaswa Kuyafanya MAOMBI Na, Sadaka Kuwa Kipaumbele kwenye Maisha Yako
Unapaswa Kuwa na Nidhamu Kubwa Sana Kwenye MAOMBI NA UTOAJI SADAKA
Unapaswa Kuhakikisha Maombi Na Utoaji SADAKA Yanakuwa Maisha Yako
Unapaswa Kuhakikisha HAKUNA SIKU INAPITA BILA KUKAA KWENYE MAOMBI
Wala Hakuna Fedha inayopita mikononi mwako pasipo kuitolea Sadaka
*Unapaswa KUJITOA, KUJIDHABIHU MNO KWENYE MAOMBI KULIKO KAWAIDA MAANA KIWANGO UNACHOOMBA NDICHO KINAAMUA KIWANGO CHA UTENDAJI WA MUNGU KWENYE MAISHA YAKO*
UNAPASWA KUJIDHABIHU MNO KWENYE UTOAJI SADAKA MAANA KIWANGO CHAKO CHA UTOAJI PIA KINAAMUA KIWANGO CHA MUNGU KUKUAMINI KWENYE MAMBO MAKUBWAA
Matendo ya Mitume 10:4
[4]Akamtazama sana, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.
👆👆Kornelio hakuwa ameokoka hivyo hakuwa na haki Ya MUNGU kumtokea Kupitia Malaika lakini kwa sababu aliziishi kanuni za MUNGU za KUDUMU KATIKA KUOMBA NA KUTOA SADAKA, MUNGU alimtokea Kupitia Malaika na kumpa maelekezo
Usiishie tu Kuomba halafu KUTOA uko nyuma, wala usitoe halafu Kuomba huombi fanya vyote ili upate Matokeo Kwa haraka
Barikiwa
ELIMELECK NDASHIKIWE
+255 698 525 010
0 comments:
Post a Comment