Mshukuruni BWANA MUNGU kwa maana ni mwema kwa maana fadhili yake ni ya milele. ndugu, usikubali kujitenga na MUNGU aliye hai ambaye anapatikana pekee katika KRISTO YESU.
KAZI TATU(3) ZA MAOMBI.
-
Na Mwl Peter Mabula Mtenda kazi katika Shamba la Bwana YESU KRISTO
Mwokozi Bwana YESU KRISTO Mwokozi atukuzwe rafiki.Karibu Tujifunze Neno la
MUNGU wa Mbin...
Karibu kwenye blog bora yenye mafundisho muhimu katika kizazi hiki
0 comments:
Post a Comment