Pages

Subscribe:

Friday, 1 December 2017

THE HEAVENLY KINGDOM "GOD".

By
Ev. Elimeleck S Ndashikiwe

         Ufalme waMbinguni una wakili mkuu ambaye ni Yesu Kristo.

           1 Yohana 2:1
       Watoto wangu wapendwa, nawaandikieni haya ili msitende dhambi. Lakini kama mtu ye yote akitenda dhambi,
tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo Mwenye haki.

        Ufalme wa Mbinguni una hakimu Mkuu (Mungu).
          Na mbingu zitatangaza haki yake,
kwa maana Mungu ndiye aliye hakimu
(Zaburi 50:6).

UBARIKIWE SANA TENA SANA.

Ufalme wa Mbinguni ni urithi wetu watoto wa MUNGU tupendwao sana.

0 comments:

Post a Comment