Ashukuriwe Mungu baba kwa upendo wake mwingi kwetu ametupatia mtoto wa kiume ambaye uweza wa kifalme u begani mwake.
DANIEL 7:14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote na lugha zote, wamumikie.
Zaburi 100:1-5 mfanyieni Bwana shangwe, dunia yote. Mtumikieni kwa furaha ......!
Ni tar 25/12/2015 siku njema iliyopendeza machoni pa ulimwengu mzima ya kwamba
tuukumbuke upendo wa pekee wa Mungu aliyemtoa mwana wake kuuacha utukufu wake juu mbinguni na kuja duniani kwa jinsi ya mwili wa binadamu , akazaliwa kama mwanadamu ili tu atukomboe na kutuokoa!
Asante MUNGU kwa upendo wako kutupatia mtoto!
Isaya 9:6-7 maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
.......!
Ameeeen.
By Ev. Elimeleck S Ndashikiwe
MAMBO KUMI YANAYOWEZA KUWACHELEWESHA WACHUMBA KUFUNGA NDOA. Bwana YESU
KRISTO
-
Na Peter & Jemimah Mabula Watendakazi katika Shamba la MUNGU wa
Mbinguni Bwana YESU KRISTO atukuzwe ndugu zangu wote.Karibu upate maarifa
ya kukusaidia kat...
0 comments:
Post a Comment