Pages

Subscribe:

Sunday, 23 October 2016

IBADA HALISI INAANZIA ROHONI Yohana 4;23-24 IBADA ni ushirika kati yako na Mungu sawasawa na nafasi zenu. MAANA YAKE; Mungu ni baba yako na wewe ni mwana wake. Hivyo, unanyenyekea na kusikiliza anachokuagiza baada ya hapo unampa mahitaji yako. >Yeye anakupa maagizo na kusikiliza unachohitaji.( You MUST appreciate not only what God has done,but also what he IS ABLE to do. Katika Ibada halisi kuna:- >Kuabudu halisi >Imani halisi >Ushuhuda halisi >Maono halisi na, >MIUJIZA halisi. Bila kuzama rohoni mambo yako yanakuwa ni ya kuigiza. Warumi 8;5-6 · Unalia machozi ya samaki baharini (yasiyokumbukwa) · Unapigana na upepo adui yupo upande mwingine *Wahubiri wengi huhubiri kwa hekima za kibinadamu siyo kwa Roho mtakatifu na kwa NGUVU kwa kuwa Ibada zao si za rohoni. 1korintho 2;4-5 *Huwezi ukajua uliyokirimiwa na Mungu (KARAMA ZA MUNGU KWAKO) kama hauabudu katika Roho na kweli. 1korintho 2;9-12 *Huwezi ukaabudu katika Roho na kweli bila kuwa na Roho wa Mungu ndani yako. Galatia 5;25, Efeso 5;18 *Huwezi ukawa na Roho wa Mungu ndani yako kama haujapewa uwezo wa kufanyika MWANA WA MUNGU(haujaokoka) .Yohana 1;14 Maombi na Neno ndio kiunganishi cha wewe na Mungu kwa Ibada ya Rohoni. >Maombi ni mawasiliano ya rohoni kati yaw ewe na Mungu.MAANA YAKE:-Unaweza ukaingia kanisanin na kutoka bila maombi ya Rohoni haujafanya Ibada halisi. >>NDIO MAANA wengi huja kanisani wakiwa wamebeba dhambi, matatizo, magonjwa n.k. na kurudi nayo hivyohivyo. >>Hata katika makanisa mengi wanafuga mapepo, wachawi, majini, magonjwa na matatizo bila kujijua kwani ni vitu vya rohoni na kuvitambua lazima kuwepo watu wa rohoni (wanaofanya Ibada halisi) Lazima ifike mahali kila mtu awe ni mwombaji na si watumishi tu peke yao. Ndio maana watu wanahama hama makanisa kwavsababu hakuna nguvu za rohoni zaidi ni porojo tu.Mungu atusaidie sana. Nguvu za Mungu hazipatikani isipokuwa tu kwa kuomba ,kufunga na kusoma Neno la Mungu. Mfano; KATIKA MAHUSIANO, Kwa sababu ya kutokuwa na Ibada halisi, watu wameingia KUTAMANI badala ya KUPENDA. Mhubiri 6;9, “Heri kuona kwa macho(ya rohoni) kuliko kutangatanga kwa tamaa(macho ya mwilini)……..”. KUTAMANI – Macho ya nyama, sifa za nje k.m urefu, weupe, wembamba n.k KUPENDA – Macho ya rohoni, sifa za ndani k.m utu wema, amani na watu wote, uvumilivu n.k. Galatia 5;22-23 Ukiambiwa nakupenda uliza kwa nini? Akikutajia sifa za nje(MWILINI) ujue kuwa Hiyo ni TAMAA na wala si UPENDO. ‘’Bali utamkumbuka BWANA Mungu wako……”. Kumbukumbu 8;18-20 >>Unaweza ukaomba mpaka ukakonda lakini bila kujifunza IBADA HALISI utabaki maskini. Hagai 1;5-7. Usifanye biashara ndani ya nyumba ya Mungu(HEKALU) mahali pa Ibada yaani mwili wako.Warumi 12;1.utoe mwili wako…….ndiyo ibada yako yenye maana. Unapokaa na Mungu shetani hapati kibali cha kukutesa. Isaya 35;8,10. Isaya 33;24. >>Ndio maana hakuna utendaji kazi wa NENO katika maisha ya watu. >>Maisha yao ni tofauti kabisa na kile wanachojifunza au kukisema makanisani.Hilo linaitwa (JINA LA KUWA HAI LAKINI NDANI MFU).Ufunuo 3;1 --Unatakiwa uabudu mpaka uone NGUVU ZA MUNGU zinashuka kiuhalisi kutoka juu. 2nyakati 5;13-14. --Shetani kukuweza ni mpaka wewe uache kuenenda kiroho badala yake uenende kimwili. 2korintho 10;3-5. NAMWOMBA MUNGU AKUUMBIE MOYO SAFI WA IBADA NA UWEZE KUMWABUDU YEYE KWA ROHO NA KWELI IBADA HALISI ITAKAYO KUBALIWA NA BWANA KATIKA JINA LA YESU.

2 comments:

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete
  2. Uchawi wa mapenzi wa Dkt. Dawn hufanya maajabu kweli.

    Niliwasiliana na Dkt. Dawn wakati uhusiano wangu ulipovunjika kabisa. Mpenzi wangu wa zamani alikuwa ameniacha na kunizuia kwenye mitandao yote ya kijamii. Nilivunjika moyo na kupoteza tumaini. Baada ya kushauriana na Dkt. Dawn, kila kitu kilibadilika. Mpenzi wangu wa zamani alirudi peke yake, akaomba msamaha kwa dhati, na akaomba msamaha. Leo, tunaishi pamoja kwa furaha, na hata tuna mtoto.

    Maneno hayatoshi kuelezea jinsi ninavyoshukuru. Kutokana na uzoefu wangu, naweza kusema kwa ujasiri kwamba Dkt. Dawn ni halisi, anayetegemewa, na mwenye nguvu. Ikiwa unakabiliwa na hali yoyote ngumu maishani mwako hivi sasa, Dkt. Dawn anaweza kukusaidia.
    ANAWEZA KUKUSAIDIA KWA MATATIZO YAFUATAYO:
    Kurudisha ndoa na mahusiano yaliyovunjika
    Kuvutia mafanikio na ukuaji katika biashara
    Matatizo ya uanaume, utasa, na ukosefu wa watoto
    Kurejesha mali zilizoibiwa au zilizopotea
    Kurudisha kazi zilizopotea au fursa za kazi
    Kinga dhidi ya uchawi na macho mabaya
    Hirizi za mvuto
    Kutatua migogoro ya ardhi na mali
    Kuwafanya wapenzi kutimiza ahadi zao
    Kushinda kesi mahakamani, na mengine mengi
    Huu si ulaghai — ni ushuhuda kutoka kwa uzoefu.
    Kwa maelezo zaidi, wasiliana naye moja kwa moja kwenye WhatsApp. +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete