By Ev. Elimeleck Ndashikiwe
SOMO: NGUVU YA MAOMBI YA USIKU
Bwana YESU Kristo asifiwe wapendwa, natumaini ya kuwa my lazima kabisa kiroho na kimwili.
Naenda nichukue nafasi hii kukueleza juu ya kile kinachoitwa MAOMBI,
Maombi ni maongezi baina ya pande mbili ambazo hukutana ktk kupokezana mahitaji.
Upande mmoja unaashiria kuhitaji kitu fulani kutoka upande wa Pili.
ZAIDI SANA mwanadamu anapokuwa anaomba mbele za MUNGU wake kwa usahihi.
Wakati MZURI huwa ni usiku, hii ni kwa sababu ya mazingira yenye kuweza kuicontrol akili au ufahamu wa mtu.
Usiku ndio wakati mtulivu kukupatia fursa ya wewe kuweza kumkaribia Mungu wako.
Kwa ufupi kabisa niishie hapa,
MUNGU WANGU WA Mbinguni AKUBARIKI SAAAANA.
Nakupenda kuliko na tena kuliko.
BARIKIWA SANA.
KANUNI MUHIMU SANA ZA KUFANIKIWA KIROHO KUPITIA MAOMBI YAKO.
-
Na Mwl Peter Mabula Mtenda kazi katika Shamba la Bwana YESU KRISTO
Mwokozi Bwana YESU KRISTO atukuzwe ndugu yangu.Karibu tujifunze Neno la
MUNGU.✓✓Biblia i...




0 comments:
Post a Comment