Pages

Subscribe:

Monday, 3 April 2017

KUTOA FUNGU LA KUMI

1. TARATIBU ZA UTOAJI WA FUNGU LA KUMI
Ni mpango wa Mungu wa Kuwabariki watu waliookoka.

MITHALI 15:8…...
[Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa Bwana; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.]

…Dhambi ni kikwazo cha kupata majibu kutoka kwa Bwana.

EFESO 2:8-9…
[Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa
njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu
, ni kipawa cha Mungu;

9 wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.]…

Mtu hapaswi kujisifu kwamba ameshabarikiwa, kwa sababu ni kwa neema tu.

Ndiyo maana baadhi ya watu shida haziishi miongoni mwa waliookoka.

YOHANA 3:16…
[Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu,
hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.]…

Hata uzimawa milele tulio nao unatokana na utoaji wa Mungu kwa ajili yetu.
Ibrahimu alitoa fungu la Kumi

MWANZO 14:17….
[Abramu aliporudi kutoka kumpiga Kedorlaoma na wale wafalme waliokuwa pamoja naye,

mfalme wa Sodoma akatoka amlaki katika bonde la Shawe, nalo ni Bonde la Mfalme.

18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki,

akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.]….

Mungu ana uwezo wa kuvaa mwili wa kibinadamu.

Melkisededki ni mfano wa aina yake katika Biblia.

Tafsiri ya jina la huyu mfalme ndiyo inayotupa uhakika wa kuwa Mungu alijifunua
kwa namna ya kipekee.

EBRANIA 7:1-3....
[Kwa maana Melkizedeki huyo, mfalme wa Salemu,
kuhani wa Mungu aliye juu, aliyekutana na Ibrahimu
alipokuwa akirudi katika kuwapiga hao wafalme, akambariki;

2. Ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote;
(tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki,
tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

3 hana baba, hana mama, hana wazazi, hana mwanzo wa siku zake, wala mwisho
wa uhai wake,
bali amefananishwa na Mwana wa Mungu);

huyo adumu kuhani milele.]….

Kawaida,
tafsiri ya jina la mtu huwa moja, na hayupo mtu wa kawaida awezaye kuwa na jina lenye maana nyingi zaidi ya moja.

Hata katika Agano Jipya, watu walitoa fungu la kumi.

MATHAYO 23:23…
[Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka za mnanaa
na bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu ya sheria, yaani, adili, na rehema, na imani;

hayo imewapasa kuyafanya, wala yale mengine msiyaache.]…

Ni mpango wa Mungu kwa watu kutoa fungu la kumi.

2. KAZI YA FUNGU LA KUMI

Ni kuhakikisha kuwa nyumbani mwa Mungu pana chakula.

MALAKI 3:8-9…..
[Je!
Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi.

Lakini ninyi mwasema,
Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia
zaka na dhabihu.

9 Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia
mimi, naam, taifa hili lote.

10 Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula
katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo,

asema Bwana wa majeshi;

mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni,
na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.

Kwa hiyo mojawapo ya kazi ya fungu la kumi
ni kuona kuwa kipo chakula katika nyumba ya Bwana.

Chakula kwenye nyumba ya Bwana kina maana gani?

YOHANA 4:34….
[Akawaambia, Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.

33 Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?

34 Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenipeleka,
nikaimalize kazi yake.]…

Chakula katika nyumba ya Bwana ni kufanya
kanisani pasiwe ukiwa, bali Injili ya Mungu iweze kusonga mbele.

3. FAIDA YA KUTOA FUNGU LA KUMI
Mungu atakaufunulia madirisha ya mbinguni.

MALAKI 3:10….
Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu
kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi;

mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.

            Mungu atamkemea ibilisi alaye biashara zetu, afya zetu, ndoa yak n.k.

MALAKI 3:11…
Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye,
wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema Bwana wa majeshi.]

Ibilisi anakula.

Kanuni inasema kuwa,
Kama humtolei Bwana fungu la kumi, basi unamtolea Yule alaye. Ndiyo maana,
unamkuta mtu Mataifa yatakuita heri.

MALAKI 3:12…
Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema
Bwana wa majeshi.… .....

Siyo kwamba kwa kutoa fungu la kumi,Mungu atakupa fedha, bali atakaupa vitu
vya rohoni,

mfano akili nzuri, karama, ujuzi n.k ambavyo vitawafanya watu/mataifa kukuita heri.

Your beloved friend

Ev. Elimeleck Ndashikiwe.

+255767445846

KUTOA FUNGU LA KUMI

1. TARATIBU ZA UTOAJI WA FUNGU LA KUMI
Ni mpango wa Mungu wa Kuwabariki watu waliookoka.

MITHALI 15:8…...
[Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa Bwana; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.]

…Dhambi ni kikwazo cha kupata majibu kutoka kwa Bwana.

EFESO 2:8-9…
[Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa
njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu
, ni kipawa cha Mungu;

9 wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.]…

Mtu hapaswi kujisifu kwamba ameshabarikiwa, kwa sababu ni kwa neema tu.

Ndiyo maana baadhi ya watu shida haziishi miongoni mwa waliookoka.

YOHANA 3:16…
[Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu,
hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.]…

Hata uzimawa milele tulio nao unatokana na utoaji wa Mungu kwa ajili yetu.
Ibrahimu alitoa fungu la Kumi

MWANZO 14:17….
[Abramu aliporudi kutoka kumpiga Kedorlaoma na wale wafalme waliokuwa pamoja naye,

mfalme wa Sodoma akatoka amlaki katika bonde la Shawe, nalo ni Bonde la Mfalme.

18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki,

akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.]….

Mungu ana uwezo wa kuvaa mwili wa kibinadamu.

Melkisededki ni mfano wa aina yake katika Biblia.

Tafsiri ya jina la huyu mfalme ndiyo inayotupa uhakika wa kuwa Mungu alijifunua
kwa namna ya kipekee.

EBRANIA 7:1-3....
[Kwa maana Melkizedeki huyo, mfalme wa Salemu,
kuhani wa Mungu aliye juu, aliyekutana na Ibrahimu
alipokuwa akirudi katika kuwapiga hao wafalme, akambariki;

2. Ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote;
(tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki,
tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

3 hana baba, hana mama, hana wazazi, hana mwanzo wa siku zake, wala mwisho
wa uhai wake,
bali amefananishwa na Mwana wa Mungu);

huyo adumu kuhani milele.]….

Kawaida,
tafsiri ya jina la mtu huwa moja, na hayupo mtu wa kawaida awezaye kuwa na jina lenye maana nyingi zaidi ya moja.

Hata katika Agano Jipya, watu walitoa fungu la kumi.

MATHAYO 23:23…
[Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka za mnanaa
na bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu ya sheria, yaani, adili, na rehema, na imani;

hayo imewapasa kuyafanya, wala yale mengine msiyaache.]…

Ni mpango wa Mungu kwa watu kutoa fungu la kumi.

2. KAZI YA FUNGU LA KUMI

Ni kuhakikisha kuwa nyumbani mwa Mungu pana chakula.

MALAKI 3:8-9…..
[Je!
Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi.

Lakini ninyi mwasema,
Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia
zaka na dhabihu.

9 Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia
mimi, naam, taifa hili lote.

10 Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula
katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo,

asema Bwana wa majeshi;

mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni,
na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.

Kwa hiyo mojawapo ya kazi ya fungu la kumi
ni kuona kuwa kipo chakula katika nyumba ya Bwana.

Chakula kwenye nyumba ya Bwana kina maana gani?

YOHANA 4:34….
[Akawaambia, Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.

33 Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?

34 Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenipeleka,
nikaimalize kazi yake.]…

Chakula katika nyumba ya Bwana ni kufanya
kanisani pasiwe ukiwa, bali Injili ya Mungu iweze kusonga mbele.

3. FAIDA YA KUTOA FUNGU LA KUMI
Mungu atakaufunulia madirisha ya mbinguni.

MALAKI 3:10….
Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu
kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi;

mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.

            Mungu atamkemea ibilisi alaye biashara zetu, afya zetu, ndoa yak n.k.

MALAKI 3:11…
Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye,
wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema Bwana wa majeshi.]

Ibilisi anakula.

Kanuni inasema kuwa,
Kama humtolei Bwana fungu la kumi, basi unamtolea Yule alaye. Ndiyo maana,
unamkuta mtu Mataifa yatakuita heri.

MALAKI 3:12…
Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema
Bwana wa majeshi.… .....

Siyo kwamba kwa kutoa fungu la kumi,Mungu atakupa fedha, bali atakaupa vitu
vya rohoni,

mfano akili nzuri, karama, ujuzi n.k ambavyo vitawafanya watu/mataifa kukuita heri.

Your beloved friend

Ev. Elimeleck Ndashikiwe.

+255767445846

UTOAJI WA SADAKA

Mungu amezungumuzia aina mbalimbali za sadaka. Zifuaatzoni aina ya hizo sadaka:

1. AINA ZA SADAKA KIBIBLIA

(i). SADAKA YA AMANI

KUTOKA 32:6….
[Wakaondoka asubuhi na mapema, wakatoa dhabihu, wakaleta sadaka za amani,
watu wakaketi kula na kunywa, wakaondoka wacheze. ]…

Hizi ni aina ya sadaka za kusababisha amani
ndani ya nchi,familia. Ikikosekana amani mema hayawezi kukujia.

(ii). SADAKA YA DHAMBI.
Israeli wakitenda dhambi, sasdaka hii hutolewa.
Mnyama (ng’ombe au kondoo) huchinjwa ili kufanya dhambi za wana Israeli waachliwe kwenye.

HESABU 6:13-14 …
[Na sheria ya Mnadhiri ni hii, zitakapotimia hizo siku za kujitenga kwake; ataletwa mlangoni pa hema ya kukutania;
14 naye atasongeza sadaka yake kwa Bwana, mwanakondoo mmoja mume wa mwaka wa kwanza mkamilifu, kuwa sadaka ya kuteketezwa,

na mwanakondoo mmoja mke wa mwaka wa kwanza mkamilifu, kuwa sadaka ya dhambi,
na kondoo mume mmoja mkamilifu kwa sadaka ya amani,]….

(iii). SADAKA YA HATIA
Mtu anakuwa ametenda mambo yenye kumtia hatia, hata akataka kujiua.
Yuda Iskariote,
kwa mfano, alijisikia ndani mwake hatia kwa kumsaliti Bwana Yesu na mwishowe akajinyonga.

Wana wa Israeli pindi wanapojisika hatia ndani ya mmioyo yaowalikuwa wanatoa
sadaka ya hatia kwa ajili yao.

Cha muhimu ni kuziacha njia zako mbaya ili hatia ndani yako isiwepo. Yapo mapepo kabisa ya kutia hatia ndani yako.

Hayo ndiyo huinon’goneza masikio yako kukuambia kwamba dhambi uliyoifanya ni kubwa na kwamba haiwezi kusamehewa.

WALAWI 5:6-7 …..
[naye atalipa kwa ajili ya hilo alilolikosa katika kitu kile kitakatifu,
kisha ataongeza na sehemu ya tano, na kumpa kuhani;

naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa huyo kondoo mume wa sadaka ya hatia,
naye atasamehewa.]….

Kwa hiyo aina hii ya sadaka huleta upatanisho.

(iv). SADAKA YA HIARI
Ni sadaka itolewayo kwa Bwana kama hiari,ya kumshukuru Bwana kwa mambo aliyokutendea.

Haulazimiki kuitoa, ila ni kuonesha mapenzi mema kwa Bwana, kwamba unamjali,unapenda aendelee kukuhudumia.

Biblia inasema aheri kutoa kuliko kupokea.

HESABU 29:36….
[lakini mtasongeza sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya kusongezwa kwa moto,
harufu ya kupendeza kwa Bwana;

ng'ombe mume mmoja, na kondoo mume mmoja,
na wanakondoo waume wa mwaka wa kwanza wakamilifu saba;]…...

Itaendeleaaa........ 

Ni mimi rafiki yako
Ev. Elimeleck Ndashikiwe