Pages

Subscribe:

Saturday, 12 November 2016

METHUSELA MTU ALIYEISHI MIAKA 969 NDIPO AKAFA. Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi.Akamwita Adam,Adam akaishi miaka 130 ndipo akazaa mtoto wake wa kwanza akamwita jina lake Kaini(Cain).Siku zote za Adam ni miaka 930 naye akafa.Vikapita vizazi vichache akazaliwa HENOKO mtu huyu inasadikika kuwa hakufa bali MUNGU alimchukua kwakua huyu jamaa alikua mtakatifu duniani.Wakati Mungu anamchujua Henoko alikua na miaka 365.Wakati Mungu anamchukua alikua amemzaa METHUSELA mtu huyu ndiye aliishi miaka mingi kuliko mwanadamu mwingine.Methusela aliishi miaka 969 akafa. Tazama picha hii hapa chini.  KIMO Henoko ambaye hakufa,yaani kifo hakijui wala hakimjui,alikua na Urefu wa futi 450 kwenda juu.Lakini mwanadamu wa sasa anafuti chache sana.Hilo ni badiliko kubwa sana ambalo BWANA MUNGU alilifanya kwani kiwango cha hewa ya oksijeni kilikua ni kikubwa sana.Hivyo mwanadamu pamoja na viumbe wengine walikua na maumbo makubwa.Na kupungua kwa umri kulikua hivi: Soma Kitabu cha MWANZO 6:4. MALAIKA Malaika wa Mbinguni waliomwasi Muumba wao walishuka duniani''wana wa Mungu'' wakawapenda mabinti''wana wa wanadamu''wakajitwalia wake wowote walio watamani''.Hapa akataja WANEFILI yaani majitu makubwa.Majitu haya ilikua ni machotara ya malaika na wanadamu. Tazama picha hii.  KITABU CHA HENOKO. Kitabu hiki alikiandika Henoko mwenyewe japo nakala zake ni nadra kupatikana.Aliandika akionesha jinsi maovu yalivyokua yamezidi duniani kiasi kwamba MUNGU akaamua kuangamiza kila kitu chenye uhai.Yaani uumbaji wa Munguulichakachuliwa na malaika waasi kwa msaada wa shetani waka fanya dhambi na wanadamu,wanyama wa mwituni,wanyama wa kufungwa,ndege wa angani na samai wa baharini.Hivyo dunia yote ikajaa viumbe bandia ambao kwenye orodha ya ADAM aliyoandika na kumkabidhi BWANA MUNGU viumbe hao majina yao hayakuwemo. Yasemekana wanadamu hao wapya walikua wakubwa sana kupita umbile alilokua nalo Henoko japo yeye mwenyewe alikua na urefu wa futi 450 hao machotara wenye damu mchanganyiko ya malaika na mwanadamu walikua watu wenye nguvu sana na wakubwa sana kwa upana na urefu.Ndio walioleta uchawi duniani.Wanadamu hao hujulikana kwa majina mbalimbali kama vile:-WANEFILI''NEPHILIM'' au WANA WA ANAKI''ANUNNAK''Soma katika Kitabu cha biblia Hesabu13:33 Machotara hao MUNGU hakuwapenda kabisa kwani walikua nusu wanadamu nusu malaika.Yaani wana nguvu za kibinadamu lakini pia wananguvu za kiroho nyingi sana kuliko wanadamu wakawaida.Hapo ndipo Mungu akashusha gharika a.k.a GHARIKA YA NUHU''lengo ni kufutilia mbali viumbe wote wa ajabuajabu.Ambao yeye hakuwaumba.Lakini baadhi ya viumbe hao waliikwepa gharika kutokana na nguvu za kiroho walizokua nazo maana walikua ni ''wana wa mungu'' waliooa wana wa wanadamu''hivyo watoto waliozaliwa baba zao walikua ni MALAIKA na mama zao walikua ni WANADAMU. Malaika hao walio asi ndio walio sababisha sayansi ya ajabu sana inayoitwa HYBRID kuzalisha viumbe wapya kwakuchanganya damu ya viumbe mbalimbali waliona maumbile mbalimbali sana.KITABU CHA HENOKO kinasema wakatenda dhambi na samaki wa baharini''akazaliwa samaki mtu''wakatenda dhambi na wanyama''akapatikana mtu mwenye sura nusu mtu nusu ng'ombe,nk.DHAMBI MBAYA SANA MUNGU AKAKASIRIKA,AKAUA DUNIA NZIMA YA WAKATI ULE. DUNIA YA SASA. Wamejitahidi kumkosoa MUNGU,wametenda dhambi na wanyama''kuna wanyama leo hii wanaitwa LIGER=lion+tiger Tazama picha chini.  Maana yake ninini kama wanyama wote Mungu aliowaumba ADAM akapewa jukumu la kuwaita majina na orodha akamkabidhi Mungu huyu ''liger''yuko kwenye orodha gani?Tunamkasirisha MUNGU alete adhabu nyingine ya kubakisha viumbe orijino na kuharibu viumbe feki wote. AMERIKA Nchini Marekani kwasasa wanasayansi wamefaulu kuvumbua ''steam gene''yaani mashina ya chegmbe za mwili ambapo mwanadamu hawezi kuzeeka kamwe.Na majaribio kadhaa yamefanyika yakaonekana kua ni sahihi kabisa.Watu waliofanyiwa majaribio mwaka 1816 mpaka leo wametimiza miaka 200 wakionekana ni vijana wenye umri uleule walipopandikizwa seli hizo wakiwa na umri wa miaka26.Je,jaribio kama hilo Mungu afanyeje? Tazama picha hii tena.  Wanadamu wametenda dhambi kwa punda+pundamilia=zedonk. Kitoto cha punda huyo..punda mwenyewe anashangaa heee!Wewe nani maana wamechukua chembe za wanyama waliokaribu wakazalisha feki yake. Tazama picha hii tena.  Huyu mnyama ukimtazama juujuutu unaweza sema ni funda au ni farasi,lakini ndugu msomaji huyu anaitwa''mule''punda+farasi.Mnyama huyu yeye sio punda wala sio farasi hata kwenye orodha ya ADAM aliyoandika majina hayupo.MUNGU MUUMBAJI AFANYE JE KUTETEA SIFA YAKE YA KUUMBA? MWANADAMU ANAVYO FURAHIA DHAMBI YAKE. Kuku wa kisasa,bata wa kisasa,punda wa kisasa''zedonk''simba wa kisasa''liger''Farasi wa kisasa''mule''machungwa ya kisasa,nk.Vyakula vyote unavyo fahamu vya kisayansi ni dhambi kwa MUNGU,Kwakua ni dhambi kamwe haviwezi kumaliza njaa duniani''kuku feki=kuku wa kisasa'',mayai feki=mayai ya kisasa''uyonga feki,ngano feki,mahindi feki''hybrid maize''.HYBRID ZOTE UNAZO ZIFAHAMU KATIKA VIUMBE HAI.Vinamkasirisha sana Mungu kwa kuingilia kazi yake ya uumbaji.Ndiyo maana amevilaani haviwezi kumshibisha mwanamu.Bali njaa kila mahali haiishi.

2 comments:

  1. Maelezo mazuri sana yenye ufunuo mzurii pia,
    Asante kwa hii elimu huru

    ReplyDelete