God is my King,
Nampenda sana kuliko maelezo.
Ananitumia vile atakavyo, nami niko tayari.
Maana siwezi kutulia ikiwa Bwana amenipa agizo.
Ameeeeeen.
MAMLAKA YA KINYWA CHA MTEULE WA KRISTO.
-
Na Mwl Peter Mabula Mtenda kazi katika Shamba la Bwana YESU KRISTO
Mwokozi Bwana YESU KRISTO atukuzwe ndugu zangu wote.Karibu sana tujifunze
Neno la MUNGU ...




0 comments:
Post a Comment